Wednesday, March 12, 2014


tulinunua vifaa kwaajili ya matumizi ya watoto wetu shughuli ilikuwa kuvifikisha mana gari iliishia umbali wa kama mt.150 hivi. na njia ya kufika kwenye nyumba ni vilima na mabonde. picha ya juu mwenye kikoi ni mwenyeji wetu Suzy, ambaye ndo mlezi wa watoto. wenye sare ni akinamama wa HELAU wakishusha mizigo kwenye gari

No comments:

Post a Comment