Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani jamani yaweza kufanywa kwa namna tofauti, kwa Mfano wana HELAU waliadhimisha kama ifuatavyo:
Tulijipanga, na kwa msaada wa Afisa Maendeleo ya jamii kata ya Mbezi Juu tulikifahamu kituo cha watoto Yatima kilichopo ndani ya Kata yetu kinachoitwa Furaha Children's Home Centre.
No comments:
Post a Comment