Wednesday, March 12, 2014

Siku ya wanawake duniani ki Hekima zaidi

Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani jamani yaweza kufanywa kwa namna tofauti, kwa Mfano wana HELAU waliadhimisha kama ifuatavyo:

Tulijipanga, na kwa msaada wa Afisa Maendeleo ya jamii kata ya Mbezi Juu tulikifahamu kituo cha watoto Yatima kilichopo ndani ya Kata yetu kinachoitwa Furaha Children's Home Centre.

No comments:

Post a Comment